PLOT 7A MOSHI, Moshi Institute Of Technology-MIT

(+255) 0678093637

KOZI ZETU KATIKA KITUO CHA HIMO

KOZI NA MAFUNZO YETU

  1. Chuo MIT HIMO  kilianzishwa mwaka 2020katika mji wa Himo   Kimesajiliwa na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA). Lengo la chuo ni kuandaa kizazi cha vijana wa Kitanzania, bila kujali jinsia wala dini, kupata elimu zaidi, elimu ya kiufundi kwa kiwango cha kitaifa na ajira endelevu. Ndiyo maana, tunafundisha pia ujuzi wa maisha na ujasiriamali katika kozi zetu zote. Chuo kina uwezo wa wanafunzi 60, kwa sasa wanafunzi 20 wamesajiliwa (2024).


    Tunatoa kozi za muda mrefu katika taaluma zifuatazo: 
    cs
    ndi umeme na simu za mkononi 

    • Kozi ya uhadhiri na uhudumu wa ofisi
    • Ushonaji na ubunifu wa mavazi.


      Kozi ya mafunzo ya kompyuta (muda unategemea programu)
    • Kozi ya udereva (wiki 5)
    • Kozi ya kiingereza (miezi 3)
    • Uendeshaji wa hoteli na Utalii (miezi 3 hadi 9)
    • Ushonaji  (miezi 6)
    • Ujasiriamli na mpango biashara(miezi 6)
    • Kiingereza na tution kwa wanfunzi wa msingi na sekondari.
    • Huduma za internet na staionaries
    •                                                                                                                                                                                      Chuo kina maabara mbili za kompyuta zenye kompyuta zipatazo 20, mtandao wa intaneti (wireless) na vifaa vingine muhimu vinavyotuwezesha kutoa mafunzo ya kitaaluma katika programu ya kompyuta. Zaidi ya hayo, kuna maktaba yenye vitabu na kompyuta inayotumiwa na wanafunzi. Pia kuna mtandao wa intaneti kwenye maktaba.


     
                                                                                                 
                                                                                             

DEPARTMENT-COURSES & PROGRAMMS

Chuo kinatoa kozi ndefu na fupi umuwezesha kijana ajikwamue kiuchumi na kupunguza tatizo la ajira..


 Chuo kinapatikana Himo mjini barabara ya kuelekea Marangu  opposite King size restaurant. Kipo katika mazingira tulivu na salama kwa malezi bora ya                mwanafunzi.                Chuo ni cha kutwa na bweni ambapo wanafunzi wa                 bweni wanapata huduma za chakula pia.   

 Ni chuo pekee kilichoanzishwa kutokana na utafiti wa muda mrefu kuhusu               ongezeko la wahitimu wa kidato cha nne baada ya juhudi za serikali kuanzisha shule za sekondari za  kila kata kwa               lengo la kumuwezesha kila mtanzania kupata elimu walau ya sekondari.
 Kutokana na utafiti huo, iligundulika kuwa vijana wengi wanahitaji elimu ya TEHAMA na ufundi ili kujipatia kipato kwa      maendeleo zaidi.
MIT HIMO  inaamini kuwa, kwa kumuwezesha kijana kielimu hasa elimu ya ufundi, unamjengea uwezo wa kujiamini na                kujitafutia kipato na kupunguza utegemezi katika jamii.
MIT HIMO  Tunasema, “MWENYE UJUZI ANA AJIRA”            

Enrolled students for Hospitality course

50%

Enrolled students for English language and communication

70%

Enrolled students for Digital skill course

90%

Enrolled students for Entrepreneurship and business skills

85%

Enrolled students for ICT

98%

CONTACTS

PO BOX 8734 MOSHI
Fixed Mobile 0755 767 000

Principal : +255 (0717157640)
  Mobile: +263771 111 222

Email  mithimo@gmail.com

www.mit.tareo-tz.org

https://himoict.wixsite.com/mithimo

PHYSICAL LOCATION

MOSHI INSTITUTE OF TECHNOLOGY- HIMO
MARANGU RD, OPPOSITE KING SIZE HOTEL HIMO
PO BOX 8734 MOSHI
Fixed Mobile 0755 767 000

Principal : +255 (0717157640)
  Mobile: +263771 111 222


Give us a call! (+255) 0678093637